Mwanaume akizungumza jambo huku akitoa machozi ujue anamaanisha kwa sababu ni jinsi ya watu wagumu kuonyesha hisia zao iwe ya furaha au huzuni Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa majina ya waliopita ...
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa majina ya waliopita katika usaili wa maandishi, huku ikiwaita katika usaili wa mahojiano na vitendo kwa baadhi ya kada.
Kutokana na hali hiyo, Jiji la Dar es Salaam lenye wakazi milioni 5.3 kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, ...
Jumatano ya Machi 17, 2021, Tanzania iligubikwa na wingu zito la kumpoteza Rais aliyekuwa madarakani, Dk John Pombe Magufuli ...
Jeshi la Polisi mkoani Geita linachunguza kifo cha mchimbaji mdogo wa madini, Emmanuel Sitta (25), mkazi wa Nyakabale, ...
Msimamo wa ligi hiyo ulivyo, unaonyesha wazi namna ligi hiyo ilivyogawanyika makundi matatu hivi sasa kutegemeana na nafasi ambazo timu zipo kwenye msimamo wa ligi na idadi ya pointi ambazo ...
Unapoiangalia Yanga pale kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 58, basi tambua kuna mchango wa mshambuliaji ...
Ukiona vyaelea, jua vimeundwa. Ndivyo unaweza kusema kuelezea baadhi ya mastaa wa Ligi Kuu wanaotamba katika timu tofauti ...
Juma Ramadhani Choki, mtoto wa mchezaji wa zamani wa Mtibwa Sugar na Singida Big Stars, Ramadhan Choki ambaye huenda jina ...
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) na baraza la soka Afrika Mashariki na Kati, CECAFA, Wallace Karia amechaguliwa ...
Chama cha African Democratic Alliance Party (Ada-Tadea) kitatoa fomu bure kwa wagombea wanawake na wenye ulemavu watakaojitokeza kuwania nafas za urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu ujao.
Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al-Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 200 kutoka nchi za Tanzania na Burundi ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results