Jeshi la Polisi mkoani Geita linachunguza kifo cha mchimbaji mdogo wa madini, Emmanuel Sitta (25), mkazi wa Nyakabale, ...
Chama cha African Democratic Alliance Party (Ada-Tadea) kitatoa fomu bure kwa wagombea wanawake na wenye ulemavu watakaojitokeza kuwania nafas za urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu ujao.
Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al-Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 200 kutoka nchi za Tanzania na Burundi ...
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema pazia la Uchaguzi Mkuu 2025, likifunguliwa vijana wanaojiona wanasifa wajitokeze kwenye kinyang'anyiro kugombea nafasi ya udiwani na ubunge bila ...
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, imeridhishwa na mradi wa ujenzi wa soko la madini ya Tanzanite lililopo mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara.
Katika jitihada za kukabiliana na changamoto ya walimu wa masomo ya Sayansi shule za Sekondari, Bodi ya Usajili wa Wahandisi ...
Mkazi wa Kibonde Maji B, wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam Paulina Mathias (40) anadaiwa kuuawa na aliyekuwa mumewe kwa ...
Arsenal imerudi kwenye mbio za kuwania ubingwa baada ya kuichapa Chelsea bao 1-0, huku Tottenham Hotspur wakiendelea kuwa na maisha magumu.
Inawezekana Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ACT-Wazalendo na vyama vichache makini, vina hoja ya msingi ya ...
Wakati Umoja wa Walimu Wasio na Ajira (Neto) ukipendekeza serikalini umri wa kustaafu uwe miaka 50, wadau wamesema hoja hiyo ...
Wanafunzi 1,969 kutoka shule mbili za Igwamanoni na Kakoyoyo zilizopo Kata ya Bulega wilayani Bukombe, Mkoa wa Geita, wanalazimika kusoma kwa kupokezana katika Shule ya Msingi Igwamanoni ...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mwanamume (26), mkazi wa kijiji cha Kirwa, kata ya Katangara Mrere, Wilaya ...